Morogoro


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ndege Mkoani Morogoro katika kilele cha kuadhimisha sherehe za Miaka 46 ya Kuzaliwa kwa CCM Mkoani humo.
Sherehe hizo za maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa CCM aliambatana pia na Katibu Mkuu NEC, ITIKADI na Uenezi ndugu Sophia Mjema ambaye alizungumza na wanachama wa CCM wakiwemo wanachi wa vyama mbambali waliohudhuria kilele hicho.

#CCMImara
#KaziIendelee





 
Top